Posts

Showing posts from December, 2015

New Music : Meda Classic - Somebody | Download

Image
Enjoy music from Meda Classic ! The song titled " SOMEBODY ".. DOWNLOAD

New Music: Harmonize - Kasuku | Download

Image
Enjoy good music from Harmonize ! The song titled " KASUKU " Download and Enjoy!!!! DOWNLOAD

New Video: Ostar Classic - Tutakupenda"Utanipenda Remix" (Official Video)

Image
Enjoy video from  Ostar Classic ! this is song to reply diamond platnumz hit song titled " UTANIPENDA " and this version titled " TUTAKUPENDA ". DOWNLOAD VIDEO

New Video: Bill Nass ft TID - Ligi Ngogo (Official Music Video)

Image

New Music: Makomando - Jibebishe | Download

Image

Ratiba ya Ligi Kuu Uingereza wikiendi hii

Image
Ligi Kuu Uingereza inatarajiwa kutimua vumbi wikiendi hii ambapo kutakuwa na michezo kadhaa ikiwemo Manchester United ikipambana na Stoke City katika dimba la Britannia. Nao vinara wa Ligi Leicester City itakuwa Anfield ikipimana nguvu na Liverpool. RATIBA KAMILI WIKIENDI HII 15:45 Stoke v. Man Utd 18:00 Aston Villa v. West Ham 18:00 Bournemouth v. Crystal Palace 18:00 Chelsea v. Watford 18:00 Liverpool v. Leicester 18:00 Man City v. Sunderland 18:00 Swansea v. West Brom 18:00 Tottenham v. Norwich 20:30 Newcastle v. Everton 22:45 Southampton v. Arsenal Muda wote ni kwa saa za Afrika Mashariki.

New Video: Neyba - Uje (Official Video)

Image

New Video: Mb Dogo - Sio Siri (Official Video)

Image

Yanga imeizidi kete Simba katika utitiri wa mastraika 8...

Image
YANGA imeizidi kete Simba katika utitiri wa washambuliaji baada ya usajili wa nyota wawili kwa mpigo; Paul Nonga na Issofou Boubacar ‘Garba’ ambao umeifanya kuwa na jumla ya washambuliaji nane, mmoja zaidi ya watani wao.   Wakati wadau wa soka wakijadili umuhimu wa Nonga katika jeshi lililosheheni washambuliaji wakali, Yanga wamekuja juu na kusema kuwa na ingewezekana wangeendelea kuongeza wengine kwani wanataka kuwa na kikosi kipana zaidi.   Safu ya mbele inaundwa na; Amissi Tambwe, Donald Ngoma, Garba, Nonga, Matheo Simon na Malim Busungu, wakati huohuo kuna viungo washambuliaji Geoffrey Mwashuiya na  Simon Msuva ambao pia wanao uwezo wa kufunga.   Akifafanua kiufundi zaidi, Kocha Msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi, ameliambia Championi Ijumaa kuwa, benchi lilifikia uamuzi huo kutokana na wingi wa mashindano yanayowakabili, ikiwemo Ligi ya Mabingwa Afrika (Caf).   “Ukiangalia tuna michuano mingi ambayo inatulazimu kuwa na kikosi kipana zaidi. Caf, ligi kuu, Kombe la FA

Yanga Vs Mbeya City Kikosi cha kwanza Yanga hiki hapa

Image
YANGA imeendelea kuonyesha kuwa haitaki utani katika msimu huu wa 2015/16, hiyo ni kutokana na mazoezi ambayo timu hiyo imekuwa ikiyafanya lakini zaidi ni kuwa kikosi cha kwanza kipo kamili. Yanga itakutana na Mbeya City, kesho kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar katika mchezo wa Ligi Kuu Bara lakini tayari Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, ameshapata kikosi kitakachocheza mchezo huo na mbadala wa wale ambao watapata matatizo au kuwa nje ya uwanja kwa sababu yoyote ile. Katika mazoezi ya jana asubuhi kwenye Uwanja wa Boko, Beach Veteran nje kidogo ya Dar, kocha huyo alipanga vikosi viwili na kucheza kama mechi kati ya hivyo vyote kilikuwepo kimoja alichoonekana akikiandaa zaidi kwa kukipa mbinu nyingi. Kikosi kinachoaminika kuwa ni cha kwanza na kitaanza katika mchezo wa kesho kiliundwa na; Deogratius Munishi ‘Dida’, Juma Abdul, Haji Mwinyi, Vincent Bossou, Kelvin Yondani, Mbuyu Twite, Deus Kaseke, Thabani Kamusoko, Amissi Tambwe, Donald Ngoma na Simon Msuva. Kikos

New Music: Neyba - Uje | Download

Image
Download and Enjoy New Music from NEYBA , the song titled " UJE ". DOWNLOAD

Mbunge ampa Wema Sepetu Ujauzito...Wema furaha tupu!

Image
MJINI bwana! Habari nyingi huanzia kwenye mikeka, siku hizi wenyewe wamezimebatiza jina la ‘Ubuyu’ ambapo kwa sasa ishu kubwa inayozagaa mitaani ni mwigizaji Wema Sepetu ‘Madam’ kupachikwa mimba na mbunge maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Bunge la 11 (jina kapuni kwa sasa), vyanzo vinasema. Pitapita ya sikio la Gazeti la Ijumaa katika Jiji la Dar es Salaam, hivi karibuni ilikutana na Ubuyu huo kuwa mwigizaji huyo amenasa ujauzito wa mwanasiasa huyo ambaye ni kijana mwenye utajiri mkubwa anayetajwa kwa sasa kumiliki vilivyo penzi la Madam. KUMBUKUMBU KABLA YA HABARI Kwa muda mrefu, Wema amekuwa akihaha kusaka mtoto baada ya kupitia kwenye uhusiano na wanaume tofauti akiwemo Yusuph Jumbe, Steven Kanumba (marehemu), Nasibu Abdul ‘Diamond’ na CK (yule kigogo). Akiwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na wanaume hao kwa hesabu yake na nyakati tofauti, mara kadhaa msanii huyo maarufu amekuwa akikebehemiwa na mahasimu wake kuwa ni mgumba jambo ambalo limekuwa likimhuzunisha. HAB

Mwambusi avujisha siri za Mbeya City

Image
Dar es Salaam KOCHA wa Yanga, Hans van Der Pluijm, kwa siku mbili mfululizo alionekana kuvalia njuga programu ya soka la kutibua na soka la nguvu huku mashambulizi yakipitia wingi zote. Kikosi hicho kinaendelea na mazoezi yake kwenye Uwanja wa Boko Veterani, kujiweka tayari kumenyana na Wagonga Nyundo wa Mbeya City, timu ya zamani ya Kocha Msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi.   Si kawaida ya Pluijm kukomaa na programu ya ‘fiziki’ na alipoulizwa, alikiri kufanya vile kutokana na aina ya soka la wapinzani wao kuwa la ‘minguvu’ tu. Mdachi huyo aliongeza kuwa tayari amejua jinsi ya kuwamaliza kwani anajivunia uwepo wa Mwambusi ambaye anaijua fika Mbeya City, hivyo kwa kiasi kikubwa ni msaada wa kuwakabili pasipo shaka.   “Kweli nilitaka kujaribu mfumo wa soka la nguvu kutokana na upinzani wenyewe. Nimekutana nao kama mara tatu, lakini mfumo wao ni uleule (nguvu), hivyo tumeona kuna kila sababu ya kulifanyia kazi. “Itakuwa mechi ngumu kutokana na mfumo wao, lakini kwa upande mwi

Shoo ya kifalme... Diamond ndani ya DAR LIVE leo

Image
MWANDISHI WETU Dar es Salaam SIKUKUU ya Krismasi si ndiyo leo? Jibu ni ‘ndiyooooo!’, sasa habari kamili ni kuwa wakazi wa Dar es Salaam na maeneo ya jirani, wote wanatarajiwa kukutana kwenye Ukumbi wa Dar Live, Mbagala-Zakhem ambapo Simba wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ atakuwa akifanya makamuzi. Diamond, staa ambaye anasadikika kupata umaarufu mkubwa nje ya mipaka ya nchi zaidi ya wasanii wengi wa Bongo Fleva katika historia ya muziki huo, atakuwa akitambulisha kwa mara ya kwanza wimbo wake wa Utanipenda? Meneja wa Dar Live, Juma Mbizo amefunguka kuwa burudani itaanza rasmi asubuhi maalum kwa watoto ambapo kutakuwa na michezo mingi ikiwemo kuteleza, kubembea, kupanda ndege maalum, kuogelea kwenye bwawa kubwa la kisasa na mingine mingi. “Watoto wote wanaruhusiwa kuja kwa kiingilio kidogo cha shilingi 2,000 tu na kupata burudani zote hizo hadi saa kumi na mbili jioni kisha itafunguliwa rasmi shoo ya wakubwa,” anasema Mbizo. Diamond: Nitakamua shoo live Kuele

New Video: Prezzo - Mrembo (Official Video)

Image

New Video: Eric Omondi - Royal (Official Video)

Image
Comedian Eric Omond drop his new video titled " ROYAL " Download and Enjoy!!!

New Video: Eric Omondi - Je Utanipea (Official Video)

Image

New Music: Izzo Bizness Ft.Navio & Mwasiti-Walala Hoi ( Part2 ) | Download

Image

Ben Pol ampigia magoti Alikiba, wayamaliza, huenda wakafanya collabo

Image
Jana December 23 2015 gossic cop wa show ya XXL #CloudsFM, Soudy Brown alifanikiwa kumpata Alikiba … maswali ya Soudy kwa Alikiba ilikuwa jinsi alivyopokea maneno ya Ben Pol kwenye post ya Twitter ambayo alimtaja !! Alikiba alisema hana neno na wala hana tatizo na Ben Pol , kwa hiyo hata kilichoandikwa na Ben Pol alikichukulia poa kabisa… leo Alikiba alikuwa ‘live’ kwenye show ya Jahazi Clouds FM , baada ya stori mbili tatu watangazaji Emmanuel Likuda  na ‘Mtembezi’  Antonio Nugaz  wakaona wamcheki pia Ben Pol ili kujua sababu ya kuweka post ya kumhusu Alikiba na muziki wake. Unajua Alikiba ni kama kaka, alivyolichukulia hili suala najua kalichukulia kama kaka… suala la msingi, Watanzania wajue kwamba tuko sawa na Kiba … tukiwa tunazunguka haitakuwa kitu kizuri… tutakiane heri kwa sababu tumekuwa na mwaka mzuri .’- Ben Pol . Kwenye sentensi nyingine Ben Pol ameendelea hivi >>> ‘ Haijalishi nani kajishusha kuomba radhi lakini suala la msingi ni kwamba mimi na Kiba tuk

New Video:Criss Wamarya - Cheusi Mangala (Official Video)

Image
This song Cheusi mangala Has Been Produced By Mazuu from Tanzania and Writen by Criss Wamarya.The Video was Stoot in Morogoro Tanzania by GQ

New Video: Iyanya - Christmas Special (Official Video)

Image
Mwimbaji kutoka Nigeria Iyanya amewapa mashabiki wake zawadi kubwa kwaajili ya X Maxx, hii video yake mpya ya  ‘O Come All Ye Faithful‘ itazame hapa.

Kaa tayari kuipokea zawadi siku ya ‘boxing day’ kutoka kwa Alikiba December 26 Dar es Salaam..

Image
Star wa muziki Bongo, Alikiba a.k.a ‘ King Kiba ‘ ambaye siku chache zilizopita ameachia ngoma yake na mkali wa masauti, Christian Bella amekuja na good news ambayo ni zawadi tutakayoipokea December 26 2015 siku ya boxing day !!Tumeona post nyingi za Alikiba akiwa kwenye show nje ya TZ, ikiwemo Ulaya na Marekani, Alikiba kaona zawadi yake ya Christmas atashare na Wana-Dar es Salaam wa nguvu.. zawadi yenyewe ni show ya nguvu pale Escape 1 , mzigo wake utakuwa nonstop kwenye stage yeye pamoja na bendi yake.

New Music: Jamali Selemba X Sharoom ft Harmonize - Uzuri Tabia | Download

Image

Diamond Platinumz akacha shoo ya zari.

Image
Habari ya mjini! Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ amezua utata kwa mashabiki wake baada ya kukacha kuzama kwenye pati iliyokuwa imeandaliwa na mzazi mwenzake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’. Tukio hilo lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Guvnor jijini Kampala, Uganda ambapo wawili hao walikwenda pamoja kwa lengo la kushirikiana kwenye makamuzi ya shoo ya pati hiyo iliyokwenda kwa jina la Zari All White Ciroc Party.   Ilielezwa kwamba, tofauti na matarajio ya wengi, Diamond hakuonekana ukumbini badala yake aliyekuwa mume wa Zari, Ivan Ssemwanga akawa anajitanua ukumbini humo akiwa na rafiki zake huku Pedeshee Jack Pemba wa Bongo akigandana na Zari muda mwingi. Baada ya kumwagiwa ‘ubuyu’, Ijumaa Wikienda kama kawaida yake lilimtafuta Diamond kwa lengo la kutaka kujua kilichomkwamisha kwenda kwenye makamuzi ya mzazi mwenzake huyo ambapo alisema alishindwa kuhudhuria baada ya promota wake kumzuia kwenda ‘kumkampani’ Zari akihofia kuzorotesha makamuzi ya

Aunty Ezekiel : Mdogo wa Cookie anakuja soon!!

Image
STAA maarufu wa fi lamu Bongo, Aunty Ezekiel amefungua kinywa chake na kusema STAA maarufu wa fi lamu Bongo, Aunty Ezekiel  kuwa kwa sasa yuko kwenye mchakato wa kumtafuta mdogo wake na Cookie kwa kuwa hataki kukaa muda mrefu ili kwa kuwa hataki kukaa muda kupata mtoto mwingine.   Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni  Aunty,alisema kuwa ameamua kufanya hivyo kwa ameamua kufanya hivyo kwa kuwa anaona kuzaa mapema na kumaliza ndiyo poa ili aweze kuendelea na kazi zake vizuri kuliko kukaa muda mrefu halafu ndiyo ubebe ujauzito tena. “Sasa hivi mimi na baba Cookie tumeshaamua kufanya maamuzi mazuri kabisa ya kuongeza mtoto mwingine maana tumeona kwanza ndiyo furaha yetu

Wema sepetu Atimuliwa kenye nyumba kisa Skendo ya maji na Umeme!

Image
UFALME umeanguka! Unaweza kusema hivyo! Hatimaye Miss Tanzania 2006, aliye pia staa wa filamu za Bongo, Wema Isaac Sepetu amedaiwa kutimuliwa kwenye nyumba ambayo alipanga kwa mbwembwe na kualika waandishi wa habari ili watoe ‘nyuzi’ hewani, akidai ni yake kwa kuinunua kwa shilingi milioni 280, fuatana na Ijumaa Wikienda. Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, Wema amekumbwa na kadhia hiyo ya kuhamishwa kwenye nyumba hiyo iliyopo Makumbusho jijini Dar, usiku wa Desemba 18, mwaka huu.    SIKIA CHANZO  “Jamani mmesikia kilichomtokea Wema Sepetu? Yaani huyu dada anaishi kwa maigizo hadi basi. Lile sakata lake la kudaiwa kutumia umeme na maji kimagumashi limemtokea puani, maana kwenye umeme pekee yake nasikia anadaiwa zaidi ya shilingi milioni nane (8,000,000) fedha ambazo imekuwa shida kulipa.”  BABA MWENYE NYUMBA AINGIA KATI “Sasa baba mwenye nyumba ameingilia kati. Ameamua kulipa yeye deni hilo lakini akamtaka Wema ahame haraka  kwenye nyumba yake,” kilisema chanzo.  SIKU YA

Mbowe: John Pombe Magufuli Anacheza Ngoma ya Chadema...Adai CCM Imemdhibiti Katika Uteuzi wa Baraza la Mawaziri

Image
  Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema anafurahi kuona Rais John Magufuli akitekeleza sehemu kubwa ya sera za chama chake na kwamba kazi ya upinzani si kupinga kila kitu, bali kuangalia masilahi mapana ya Taifa. Mwenyekiti huyo pia amesema “biashara imeisha” kwa Rais John Magufuli baada ya kutoka kwenye kikao cha Kamati Kuu ya CCM kwa kuwa chama hicho kilimdhibiti katika uteuzi wa Baraza la Mawaziri kiasi cha kumfanya arudishe sura zilezile. Rais ameanza kazi kwa kishindo baada ya kufumua uozo kwenye taasisi mbalimbali za Serikali kama Mamlaka ya Bandari (TPA), Mamlaka ya Mapato (TRA), Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), huku akidhibiti matumizi ya Serikali kwa kubana safari za nje za watumishi wa umma, kuondoa posho za vikao na pia kuanza utekelezaji wa ahadi ya elimu bure. Mbowe anaona mambo hayo ndiyo ambayo wapinzani wamekuwa wakipigia kelele wakati wote. Akizungumza kwenye kipindi maalumu cha Kituo cha Televisheni cha Azam juzi, Mbowe alisema hak

Picha: Diamond Platnumz Akiwa na Watoto Wote wa Zari

Image
Kupitia kwenye mitandao ya kijamii mwanadada Zarinah Hassan ‘Zari the boss Lady’ ambaye ni mzazi mwenza wa mkali wa bongo fleva, Diamond Platinum alitupia picha hizi akiwa yeye, Tiffah na Diamond pamoja na watoto watatu wa zari ambao diaomond alimkutanao kuandika maeno kuashiria hiyo ndiyo familia. Hii ni kwama mara ya kwanza kwa diamond kupiga picha na watoto hao wa zari tangu Diamond awe na mahusiano na mwanadada Zari. Jionee picha hizo hapo chini TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Jipatie tiketi ya bure shoo ya Diamond Krismasi

Image
UNATAKA kwenda shoo ya Diamond, Krismasi hii? Kama ndiyo, sasa unaweza kujipatia tiketi ya bure kwenda kwenye shoo hiyo kwa kujibu maswali katika Gazeti la Uwazi kesho Jumanne pamoja na Risasi Mchanganyiko siku ya Jumatano. Jinsi ya kushiriki, nunua gazeti lako la Uwazi au Risasi Mchanganyiko kisha jibu maswali kiufasaha ndani ya magazeti hayo katika kuponi maalum na washindi watano kila gazeti watajishindia tiketi ya bure kwenda kwenye shoo ya Diamond itakayofanyika Krismasi katika Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem jijini Dar. Wanaoruhusiwa kushiriki ni wenye umri kuanzia miaka 18, shindano hili ni kwa watu waishio jijini Dar pekee.

New Video: Eddy Kenzo - Soraye (Official Video)

Image
Hii video mpya ya Eddy Kenzo ‘Soraye’ itazame hapa.

New Video: Witnesz Kibonge Mwepec - Buku Jero (Official Video)

Image

New Music: Best Nasso - Rumba | Download

Image

New Video: Best Nasso - Rumba (Official Video)

Image

New Video: Alikiba & Christian Bella – Nagharamia (Official Video)

Image
Video iliyosubiriwa kwa hamu kubwa sana na mashamiki miongoni mwake ni hii ya mkali Alikiba akimshirikisha Christian Bella. Wimbo unaitwa Nagharamia sasa unaweza kuplay na kuitizama hapa kisha tume maoni yako na pongezi kwake.

New Video: Ommy Dimpoz - Achia Body (Official Video)

Image