Diamond Platinmz amedhibitisha kuwa ngoma yake aliyofanya na Mr Flavour imekamilika.

Diamond Platnumz kafanya wimbo na Mr Flavour wa Nigeria,Meneja wake kaongea Haya.

Baada ya kufanya wimbo na P Square, msanii Diamond Platnumz ameweka wazi kuwa video yake aliyofanya na Mr Flavour wa Nigeria imekamilika na imeshapelekwa kwenye kiyuo cha televion cha Kimataifa BET.

Popular posts from this blog

Collabo kati ya Sheta na msanii Wa Nigeria Kcee inanukia soma hapo