Tazama Picha: Sheta,Kcee, Nahreel, Joh Makini wapo Afrika Kusini
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Wasanii Joh Makini, G Nako, Jux, V Money, Sheta na Nahreel wako nchini Afrika Kusini wakufanya shughuli tofauti za muziki wao. Joh Makini alionekana Studio na Rapa KO na kunauwezekano wa collabo kufanyika ingawa alisema ni mapema sana kuongelea.