Tazama Picha: Sheta,Kcee, Nahreel, Joh Makini wapo Afrika Kusini


Wasanii Joh Makini, G Nako, Jux, V Money, Sheta na Nahreel wako nchini Afrika Kusini wakufanya shughuli tofauti za muziki wao. Joh Makini alionekana Studio na Rapa KO na kunauwezekano wa collabo kufanyika ingawa alisema ni mapema sana kuongelea.







Popular posts from this blog

Collabo kati ya Sheta na msanii Wa Nigeria Kcee inanukia soma hapo