Posts

Showing posts from February, 2016

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Tanzania Jumanne ya March 1

Image

New Video: Ama G - Nimebadilika (Official Music Video)

Image
DOWNLOAD VIDEO

New Video: Harmonize Ft.Diamond Platnumz - Bado (Official Video)

Image
Mabibi na mabwana, Harmonize ft Diamond Platnumz wamekusogezea hii ya ‘Bado’ | Download MP4 DOWNLOAD VIDEO

New Music: Harmonize Ft Diamond Platnumz - Bado | Download

Image
New Music: Harmonize Ft Diamond Platnumz - BADO | Download Mp3 DOWNLOAD Mp3

New Music: Galatone - Samaki | Download

Image
New Music: Galatone - Samaki | Download Mp3 DOWNLOAD Mp3

Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya TANZANIA Jumtatu Ya Leo Februari 29

Image

Cooming Soon New Song: Diamond Platinumz - #Simba

Image
Diamond kuachia wimbo wa kurap uitwao ‘Simba ’Staa wa muziki Diamond Platnumz amejipanga kuachia wimbo mpya wa kurap uitwao Simba. Akizungumza katika kipindi cha XXL cha Clouds FM Ijumaa hii, Meneja wa msanii huyo, Babu Tale alisema wimbo huo utakuwa sio wa biashara bali ni zawadi kwa mashabiki. “Kama Hip Hop ni biashara Diamond amefanya wimbo wa kurap lakini hatujauchulia kama ile biashara.Wimbo umeshaisha bado tu kuuachia,kwa hiyo mashabiki wangu wakae mkao wa kula.

Yanga yasonga mbele klabu bingwa Afrika

Image
Mabingwa wa soka Tanzania Bara na wawakilishi katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga SC leo imefanikiwa kuitoa Cercle de Joachim ya Mauritius kwa jumla ya mabao 3-0, kufuatia ushindi wa 2-0 jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Mchezo wa kwanza ilishinda bao 1-0. Alikuwa ni Amissi Joselyn Tambwe, mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi ambaye aliifungia Yanga bao la kwanza katika dakika ya tatu ya mchezo kwa kichwa akimalizia kwa uzuri krosi ya winga Simon Msuva. Yanga waliendelea kulishambuliwa lango la wapinzani wao lakini kukosekana kwa umakini wa washambuliji wao kuliwanyima magoli mengi zaidi. Mpaka kipindi cha kwanza kinamalizika Yanga walikuwa na akiba ya bao 1-0. Kipindi cha pili Yanga waliingia na nguvu mpya na kufanikiwa kuongeza bao la pili lililofunga na Thaban Scara Kamusoko mnamo dakika ya 56 kwa shuti kali akiwa nje ya boksi, baada ya kuanzishiwa mpira wa adhabu na beki Mwinyi Hajji Mngwali. Kwa matokeo haya Yanga sasa itakutana na APR kutoka

Baada ya Rich Mavoko Kukana Kutoka Kimapenzi na Gigy Money, Gigy Aanika Chat zao

Image
Baada ya video queen Gigy Money kudai kuwa aliwahi kutoka kimapenzi na Rich Mavoko na baadae staa huyo wa wimbo ‘Pacha Wangu’ kukanusha, Gigy Money aweka wazi chati zao za WhatsApp. Gigy Money, alipost instagram chat hizo na kila moja kuiandika ujumbe wake. Hata hivyo baade alizifuta post hizo. “Mimi mwenyewe sikujui vilevile” aliandika Gigy. “Ahahhahaha unajua mavoko ntakudhalilishaaa ….mm ni mkimyaaa tu sio Mpole ata kidogo …unajikuta umenisahau bwege ww” aliandika Gigy. “Banduguuuuuu kujichubua kwako ndio nkuogope weeee Richard wewe umeombaaa watu wanipigie nisikutie aibu sasa unaletaaa utoto sina nachokipoteza kumbukaaa I don’t care��������” aliandika Gigy